Mlipuko wa tukio la kujitoa mhanga
pamoja na shambulio la kutumia silaha limewauwa makumi ya watu katika
eneo linalokaliwa na waasi kaskazini mwa Mali.
Hili ni tukio la kwanza la mlipuko
wa kujitoa mhanga linaloshutumiwa kufanya na wapiganaji wa kabila la
Gatia wanaoungwa mkono na serikali, ambapo wanapambana na waasi wa
kabila la Tuareg.
Eneo la kaskazini mwa Mali,
linakabiliwa na machafuko baina ya vikosi vya serikali, kundi la
Tuareg pamoja na wapiganaji wa Kiislam.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni