.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 29 Januari 2015

KAMISHNA WA ARDHI KENYA AMTAKA WAZIRI WAKE AJIUZULU KWA KUSHINDWA KAZI

Kamishna wa Ardhi nchini Kenya, amemtaka bosi wake ambaye ni Waziri wa Ardhi Bi. Charity Ngilu kujiuzulu kwa kushindwa kutekeleza mabadiliko.

Kamishna huyo Bw. Abdulkadir Khalif amesema Dk. Muhammad Swazuri pamoja na Waziri Ngilu wanachangia mkanganyiko na kutengeneza mazingira mazuri ya uvamizi wa ardhi.

Bw. Khalif amesema viongozi hao wawili wameshindwa kuharakisha kupitishwa kwa miswada ambayo ni muhimu kwa kujenga utawala na usimamizi wa ardhi nchini Kenya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni