Mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la
Dominic Ongwen, amejisalimisha katika nchi ya Afrika ya Kati (CAR)
Idara ya Marekani imeeleza.
Ongwen anatafutwa na Mahakama ya
Kimataifa ya Uhalifu, kwa kuhusika na uhalifu wa kivita na uhalifu
dhidi ya binadamu.
Ongwen anachukuliwa kama naibu kamanda
wa kundi hilo la LRA, ambalo kiongozi wake ni Joseph Kony.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni