.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Januari 2015

SEHEMU YA NYUMA YA NDEGE YA AIRASIA ILIYOANGUKA YAONEKANA BAHARINI

Sehemu ya nyuma ya ndege iliyoanguka ya AirAsia namba QZ8501 imepatikana katika bahari ya Java, mkuu wa zoezi la kutafuta ndege hiyo ameeleza.

Sehemu hiyo ya ndege ndiyo inayokaa kisanduku cha kurekodi sauti na data itawasaidia wachunguzi kubaini nini haswa chanzo cha ajali hiyo.

Ndege hiyo aina ya Airbus ilitoweka katika rada wakati ikitokea Surabaya, Indonesia kwenda Singapore Desemba 28, ikiwa na watu 162. Hakuna mtu aliyenusurika aliyepatikana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni