.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Januari 2015

MTU MWENYE SILAHA AMUA KWA KUMPIGA RISASI POLISI WA KIKE JIJINI PARIS

Mtu mwenye silaha amemuua polisi mwanamke leo Jijini Paris, siku moja tu kupita tangu vijana wawili wanaharakati wa Kiislam kuwauwa watu 12 katika ofisi za jarida moja nchini Ufaransa.

Mtu mwingine amejeruhiwa vibaya kwenye shambulio hilo katika kitongoji cha kusini mwa Montrouge, ambapo aliyetekeleza shambulio hilo alitoroka.

Haikufahamika mara moja iwapo tukio hilo linauhusiano na la kwenye ofisi za jarida la Charlie Heddo yalipotokea mauaji jana, na kuitia hofu Ufaransa.

Polisi inawashikilia watu saba, ikiendelea kuwasaka ndugu wawili waliohusika katika tukio la jana, huku mtu mmoja wa tatu akijisalimisha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni