.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Januari 2015

RAIS MUSEVENI AWATAKA VIJANA KUACHANA NA UNYWAJI WA POMBE

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amewashauri vijana kuachana na tabia ya unywaji pombe kwa wingi na kusema kuwa pombe ni moja ya sababu kuu ya kusababisha umasikini katika familia.

Rais Museveni, metoa ushauri huo wakati akiongea katika ibada ya mwaka mpya iliyofanyika kwenye Kanisa la Uganda la Nshwere, Daiyosisi ya Ankole Kaskazini Wilayani Kiruhura, ambapo pia alikuwa ameambatana na mkewe Mama Janeth Museveni.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni