.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Januari 2015

NDUGU WA MWANDISHI WA AL-JAZEERA KUMTAKA RAIS WA MISRI AMUACHIE NDUGU YAO

Ndugu wa mmoja kati ya waandishi wawili wa kituo cha al-Jazeera waliohukumiwa kifungo nchini Misri, Peter Greste wamesema watamshinikiza rais kutumia mamlaka yake ili aamuru kuachiwa kwake.

Wamesema watatoa hoja ya kumtaka rais wa Misri kutumia mamalaka yake aliyoyatumia mwaka jana katika kuwasafirisha kwao wafungwa raia wa kigeni ama washtakiwa wa kigeni.

Ndugu hao wa kiume wa Greste, wamesema wamechukizwa na hatua ya ndugu yao huyo na washtakiwa wenzake wawili kutoachiwa huru na mahakama siku ya jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni