.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Januari 2015

TWAWEZA YAMUAGA RAKESH RAJAN JIJINI DAR

Balozi wa Sweden nchini Tanzania,Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza wakati wa hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza, Rakesh Rajani iliyofanyika jana jioni kwenye viwanja vya Karimjee,Jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe akizungumza wakati wa hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza, Rakesh Rajani iliyofanyika jana jioni kwenye viwanja vya Karimjee,Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza (aliyemaliza muda wake), Rakesh Rajani (kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe (katikati) pamoja na aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, Ludovick Utouh wakati wa hafla fupi iliyofanyika jana jioni kwenye viwanja vya Karimjee,Jijini Dar es Salaam.
Rais wa TUCTA,Grasian Mukoba akizngumza machache wakati wa hafla ya kumuaga aliekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza, Rakesh Rajani iliyofanyika jana jioni kwenye viwanja vya Karimjee,Jijini Dar es Salaam.

          Ernest Sungura wa TMF akiongea mmoja wa waalikwa
                                                  Ankal na wadau pia walihudhulia hafla hiyo
Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza (aliyemaliza muda wake), Rakesh Rajani akiwa amejumuika na wadau wengine kwenye hafla ya kumuaga iliyofanyika jana jioni kwenye viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es Salaam.
                                                                     Wadau mbali mbali kwenye hafla hiyo
Mwalimu Azaveli Lwaitama nae alikuwepo
                                  Waalikwa wakibadilishana mawazo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni