Watu kadhaa wamepoteza fahamu baada
ya kuvuta hewa ya mabomu ya machozi yaliyofyatuliwa na polisi katika
vurugu zilitotokea wakati wa kuapishwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa
katika hoteli ya Land Mark, Jijini Dar es Salaam.
Vurugu hizo ambazo kwa sasa
zimedhibitiwa, ziliibuliwa na kambi ya upinzania ya Ukawa ambao
wanapinga kuapishwa kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Msisiri
kutoka CCM, kwa madai Chama cha Wananchi (CUF) ndio kilishinda nafasi
hiyo.
Polisi wakiwadhibiti wafuasi wa vyama vya upinzani nje ya Land Mark Hotel leo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni