.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Januari 2015

WALIMU WAGOMA KUINGIA MADARASANI KENYA WAKATI SHULE ZIKIFUNGULIWA

Masomo katika shule za umma nchini Kenya, yamekwama kuanza baada ya walimu zaidi ya 200,000 kukaidi agizo la serikali na kuamua kutoendelea na kazi wakati wa kuanza kwa muhula mpya wa mwaka 2015.

Walimu hao wameitikia wito wa Katibu Mkuu wa Chama cha Taifa cha Walimu (KNUT), Bw. Willson Sossion, wakutoingia madarasani kupinga serikali kushindwa kuongeza mishahara yao na posho zao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni