.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Januari 2015

WAFUASI WA KUNDI LINALOKINZA NA KUNDI LINALOPINGA UISLAM WAANDAMANA UJERUMANI

Wafuasi wa kundi linalokinzana na kundi linalopiga kampeni dhidi ya utamaduni wa kiislam katika nchi za Ulaya limeendesha maandamano katika miji mbalimbali nchini Ujerumani.

Kumekuwepo na maandamano ya wiki moja kuwapinga, wazalendo wa Ulaya wanaopinga kuridhiwa kwa uislama wa nchi za Magharibi (Pregida), tangu mwezi Oktoba.

Hapo jana maandamano hayo yaliweka rekodi ya watu 18,000 kushiriki huko Dresden.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni