.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Januari 2015

WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA WA MAJIMBO YA ILALA, UKONGA NA SEGEREA WALAKIAPO

Baadhi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa walioshinda katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kutoka katika Majimbo ya Ilala, Ukonga na Segerea wakila kiapo leo mbele Wakili wa Serikali (hayupo pichani) kwenye Ukumbi wa Arnautoglo, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wajumbe wa Serikali za Mitaa walioshinda katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kutoka katika Majimbo ya Ilala, Ukonga na Segerea wakila kiapo mbele Wakili wa Serikali kwenye Ukumbi wa Arnautoglo, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Wenyeviti na Wajumbe wao wakijaza fomu katika ukumbi wa Arnautoglo, Mnazi Mmoja kabla ya kula kiapo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni