.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 18 Februari 2015

LIGI YA MABINGWA ULAYA BAYERN MUNICH NA SHAKTAR DONETSK HAKUNA MBABE, ALONSO APEWA KADI NYEKUNDU

Mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya hatua ya 16 bora kati ya Shaktar Donetsk na Bayern Munich uliomalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana, ulishuhudia kadi zikitawala ikiwa ni pamoja na mchezaji wa Bayern Munich Xabi Alonso akizawadiwa kadi nyekundu na mwamuzi wa mchezo huo, Alberto Undiano.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni