.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 1 Februari 2015

TANZANIA KUANZISHA DUKA LA KUDUMU LENYE BIDHAA ZA ASILI YA KITANZANIA NCHINI OMAN

Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia akipata Maelezo kutoka kwa Maafisa wa Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar ( ZSTC) Sabra Shehe na Mussa Abdullah wakati Balozi huyo alipofanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo
Wasanii wa Fani ya Uchoraji Tanzania Fred Halla na Salum Ameir Muchi wakimkabidhi Ua kama zawadi Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia wakati Balozi huyo alipofanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh akisalimiana na Mbunifu wa Mavazi (Designer) Farida Amiri wakati Balozi huyo alipofanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia akitoa nasaha zake kwa Wasanii wa Fani ya Uchongaji Tanzania.Kutoka kushoto Iddi Amana, Mwandale Mwanyikwa(Big Mama)na Abdulrahman Abdulla mara baada ya Balozi huyo kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo.
Msanii wa Sanaa ya Ufumaji Bi Mtumwa Omar Bakar akifurahia jambo na
Balozi waTanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia mara baada ya Balozi huyo kuwatembelea Watanzania wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Msanii wa Sanaa ya Mapambo mbalimbali kutoka Tanzania Rahma Juma
(Kushoto)akifurahia jambo na Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh (kulia) mara baada ya Balozi huyo kuwatembelea Watanzania wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo katikati ni Mshiriki mwingine Masika Mohame
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia akipata Maelezo kutoka kwa Wajasiriamali wa Bidhaa za Viungo mbalimbali ikiwemo Karafuu kutoka kushoto ni Kulthum Mohamed na Saumu Abdalla na Mke wa Balozi huyo.Balozi Saleh alifanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Msanii wa Kuchora Katuni nchini Tanzania Maarufu kama Tingatinga kushoto Mussa Suleiman Augosi akipokea nasaha kutoka kwa Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia..Balozi Saleh alifanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Mjasiriamali wa Mavazi mbalimbali ikiwemo ya Kimasai Bi Anna Matinde akitoa ufafanuzi wa bidhaa zake kwa Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia.Balozi Saleh alifanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut.
Mjasiriamali wa Mapambo mbalimbali ya ndani Khadija Faraji akitoa ufafanuzi wa bidhaa zake kwa Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia. Katikati ni Mke wa Balozi huyo.Balozi Saleh alifanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh akibadilishana Mawazo na baadhi ya Watanzania Mavazi wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo kutoka kulia ni Mkuu Msaidizi wa Msafara Masha Hussein, Bi Anna Matinde na Mkuu wa mambo ya kiufundi wa Msafara Bi Moza Habib. Balozi Salehe alifanya ziara ya kuwatembelea katika Maonesho hayo.
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh mwenye Koti Jeusi akifurahia jambo na Wapishi wa Mashi ya Kitanzania mara baada ya Balozi huyo kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo katikati ni Mshiriki mwingine Masika Mohamed. Picha na Faki Mjaka-Mascut Oman.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni