.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 27 Februari 2015

UN YAONGEZA MUDA KWA JESHI LA KENYA KUENDELEA KUWEPO SOMALIA

Vikosi vya jeshi la Kenya vitaendelea kuwepo nchini Somalia kwa mwaka mmoja zaidi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuongeza muda.

Waziri wa Ulinzi wa Kenya Raychelle Omamo, amesema wameupokea uamuzi wa kuendelea kuwa sehemu ya vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia na kutoa wito wa kutaka msaada zaidi wa kukabiliana na ugaidi.

Vikosi vya Jeshi la Ulinzi la Kenya, vimekuwa vikisiadia kuikomboa Somalia ambayo imekuwa ikikabiliwa na mashambulio ya wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni