.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 19 Februari 2015

WATU WANNE WAFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI KATIKA AJALI KENYA

Watu wanne wamekufa papo hapo leo nchini Kenya baada ya basi la abiria maarufu kama matatu kugonga Lori lililokuwa limeegeshwa eneo la Jomvu katika barabara kuu ya Mombasa-Nairobi.

Abiria wengine wawili wamekimbizwa hospitali na hali zao ni mbaya, kufuatia ajali hiyo iliyotokea leo majira ya asubuhi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni