.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 30 Machi 2015

AMBER ROSE NA ALIYEKUWA MUMEWE WIZ KHALIFA WAZIKA TOFAUTI ZAO

Modo Amber Rose na aliyekuwa mumewe Wiz Khalifa wameafikiana kupatana kuhusiana na mvutano waliokuwa nao wa kudai haki ya kumlea mtoto wao wa kiume Sebastian.

Wawili hao walikuwa wakipambana kuhusiana na mtoto wao wa miaka miwili, huku kila mmoja akidai mwenzake ni mzazi mbaya, lakini sasa wamebadili msimamo.

Taarifa zinadai kuwa Amber amebadili msimamo wake baada ya kusikiliza wimbo ambao Wiz ameutunga maalum kwa Amber uitwao See You Again.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni