.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 30 Machi 2015

MARIAH CAREY AZAMA KATIKA PENZI JIPYA BAADA YA KUACHANA NA NICK CANNON

Mwanamuziki nyota wa Marekani Mariah Carey inasemekana ameanza maisha mapya ya mahusiano ya mapenzi na mtengenezaji filamu Brett Ratner.

Wawili hao wamenaswa wakiwa katika hali ya utata siku ya jumamosi kwenye boti moja ya kifahari huko St. Barts.

Mashuhuda wamesema wawili hao walikuwa wakikumbatiana mara kwa mara na inaonyesha dhahiri walikuwa wameshibana kimahaba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni