.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 31 Machi 2015

MATOKEO YA URAIS YA AWALI NIGERIA YAONYESHA TOFAUTI NDOGO

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Nigeria yanaonyesha tofauti ndogo ya kura baina ya rais aliyemadarakani Goodluck Jonathan, pamoja na kiongozi wa kijeshi Muhammadu Buhari.

Katika majimbo nane pamoja na Jiji la Abuja, Rais Jonathan wa chama cha People's Democratic Party (PDP) anaongoza kwa karibu kura 20,000.

Matokeo rasmi ya uchaguzi huo ambao unaushindani mkali yanatarajiwa kutolewa hii leo.
                       Mabomu ya machozi yakiwatawanya wanaopinga matokeo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni