.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 30 Machi 2015

MBWA WA MITAANI WAJITOKEZA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWANAMKE ALIYEKUWA AKIWAPA CHAKULA

Maziko ya mwanamke mmoja kikongwe nchini Mexico yalichukua sura ngeni baada ya mbwa wa mitaani kujitokeza nao kuja kutoa heshim za mwisho.

Mwanamke huyo mpenda wanyama Margarita Suarez wa Merida, Yucatan, alifariki dunia mapema mwezi huu baada ya kuugua.

Wakati wa uhai wake Margarita alikuwa ni mtu mwema mno kwa wanyama wa aina yote na kila asubuhi alikuwa akiwapatia chakula mbwa na paka wa mitaani anaowakuta nje ya nyumba yake.
                                             Mbwa wakiomboleza kifo cha Margarita Suarez 
                                                 Ni majonzi mazito kwa mbwa hawa wa mitaani 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni