Rais Uhuru Kenyatta hii leo amekuwa
rais wa tatu Kenya, kuweka historia ya kuchoma moto meno ya tembo
tani 15 katika kuadhimisha Siku ya Wanyamapori Duniani.
Siku ya Wanyamapori Duniani
ilitangazwa na Baraza la Umoja wa Mataifa Desemba 20, 2013 ili
kuhamasisha kulinda wanyamapori na mapori.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni