Vituo vitatu mashuhuri vya
Televiseni nchini Kenya, vinatarajia kumaliza mgomo wao wa kutorusha
matangazo uliodumu kwa wiki tatu kupinga kuhamia katika mfumo wa
digitali
Vituo hivyo vya KTN, Citizen na
NTVpamoja na kituo chake kidogo cha QTV, vilizima matangazo yake
tangu Februari 14, kutokana na mvutano huo wa kuhamia digitali.
Vituo hivyo vikuu nchini Kenya
vilitaka kupewa muda zaidi, lakini serikali ilikata na kupelekea
viamue kuzima matangazo yake. TV ni njia kuu muhimu ya habari katika
miji ya Kenya.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni