Watu 19 kati ya 220 wa jamii ya
Kikristo ya Assyrian waliotekwa na kundi la Dola ya Kiislam (IS)
kaskazini-mashariki mwa Syria wameachiwa huru.
Kundi la Uangalizi wa Haki za
Binadamu Syria limesema wameelezwa kuachiwa huru kwa watu hao na
kamanda wa jamii ya Assyrian. Kunataarifa kuwa wameachiwa kwa malipo
ya fedha.
Jamii hiyo ya Assyrian ambao
ilitekwa alfajiri ya Februari 23, baada ya wapiganaji wa IS kuvamia
vijiji 12.
Waumini wa jamii ya Assyrian wakiwa kanisani
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni