.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 15 Aprili 2015

ABIRIA MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA BASI LA AIR JORDAN KUPINDUKA WILAYANI NZEGA

Abiria mmoja amefariki dunia papo hapo huku wengine zaidi ya ishirini wanaripotiwa kujeruhiwa kufauatia ajali ya basi la Air Jordan lililokuwa linatoka jijini Mwanza kuelekea jijini Dar es Salaam. 

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora, ACP Suzan Kaganda amesema kuwa ajali hiyo imetokea katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora. 

Kamanda Kaganda amesema kuwa, chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wa basi hilo, ambapo alishindwa kulimudu hivyo kupinduka.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni