.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 9 Aprili 2015

AJALI ILIYOHUSISHA MABASI MAWILI NA GARI DOGO YAUA WATU 10 MKOANI TANGA

Watu 10 wamefariki dunia na wengine 33 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari matatu katika eneo la Mkata kijiji cha Mbweni Wilayani Handeni Mkoani Tanga nchini Tanzania.

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabara mkoa wa Tanga amesema kuwa ajali hiyo imehusisha mabasi mawili ya abiria na gari dogo ambalo lilikua likitaka kulipita roli lililokua mbele yake na ndipo ilipogongana uso kwa uso na basi la Ratco kisha basi hilo lilipopoteza muelekeo na kugongana na basi jingine la abiria la Ngorika.
                Askari wa usalama barabarani wakichunguza ndani ya basi lililoanguka
                                                                      Watu wakishuhudia ajali

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni