.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 3 Aprili 2015

AMBER ROSE ATAKA KURUDIANA NA MUMEWE WIZ KHALIFA

Inaonekana mbunifu wa mavazi, modo, rapa na muigizaji Amber Rose na mumewe rapa Wiz Khalifa wanaweza kumaliza tofauti zao kwa ajili ya manufaa ya mtoto wao ambaye walikuwa wakigombea kumlea.

Amber Rose ametumia Instagram yake kutoa ujumbe mzito wa mahaba kwa mumewe huyo mtata akisema kuwa Wiz Khalifa ndiye mpenzi wa maisha yake.

Amber aliyeomba talaka mwezi Septemba ikiwa ni chini ya mwaka mmoja tu tangu waoane, lakini sasa ameonyesha kubadili moyo wake kutokana na kusema hamna mwanaume anayemfanya awe na furaha kama Wiz Khalifa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni