.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 3 Aprili 2015

BAHARIA AISHI BAHARINI MIEZI MIWILI KWA KULA SAMAKI WABICHI BAADA YA BOTI YAKE KUPINDUKA

Baharia mmoja wa Marekani ameishi kwa miezi miwili baharini baada ya kupotea huku akiishi kwa kula samaki wabichi na kunywa maji ya mvua.

Baharia huyo Louis Jordan mwenye umri wa miaka 37, alipatikana na meli ya Ujerumani iliyokuwa ikipita umbali wa maili 200 kutoka pwani ya North Carolina siku ya Alhamisi.

Baharia huyo alipotea baharini baada ya boti lake la futi 35, kupinduliwa na mawimbi, ambapo Jordan alikutwa ameka juu ya boti hilo lililopinduka juu chini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni