.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 3 Aprili 2015

MIILI YA WATU WANNE YAKUTWA KATIKA GHOROFA LILILOANGUKA

Miili ya watu wanne imepatikana kutoka katika kifusi baada jengo la ghorofa sita kuanguka likiwa bado lipo katika ujenzi katika eneo la Roysambu Jijini Nairobi nchini Kenya.

Watu wengine sita wamelazwa katika hospitali ya jirani na eneo hilo ya Neema Hospital, huku wengine watatu wakihamishiwa katika hospitali ya taifa ya Kenyatta.

Wakati jengo hilo likianguka lilikuwa na mafundi 15 wakiendelea na ujenzi, ambapo hadi sasa mafundi 6 hawajulikani walipo na huenda wamekwama kwenye vifusi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni