.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 6 Aprili 2015

BALOZI KAMALA AWASHUKURU WABELIGIJI KWA KUUNGA MKONO ASASI YA MIKUMI KIDS


Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwashukuru Wabeligiji walioshiriki chakula cha kuchangia asasi ya Mikumi Kids jijini Louven Ubeligiji. Taasisi ya Mikumi Kids inalea na kusomesha watoto yatima Morogoro kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni