.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 12 Aprili 2015

BASI LA NGANGA LAGONGANA NA LORI NA KUWAKA MOTO HUKO IYOVE

Watu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya basi la Nganga lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya kugongana na lori na kisha kuungua moto katika eneo la Iyove mpakani mwa Morogoro na Iringa.
                                   Baadhi ya abiria wakiangalia basi likiteketea kwa moto.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni