Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwasha mwenge wa Uhuru Kitaifa katika uwanja wa Majimaji Songea Mkoa wa Ruvuma leo(kushoto) Waziri wa Vijana Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mh. Dk. Fenella Mukangara na Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa jamii vijana wanawwake na watoto Bi Zainab Mohammed,{Picha na IKulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Kiongozi wa Mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa Juma Khatib Chum baada ya kuuwasha leo katika uwanja wa Majimaji Songea Mkoa wa Ruvuma,{Picha na IKulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea Mkoa wa Ruvuma leo kwa ajili ya uzinduzi wa mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa katika uwanja wa Majimaji Songea Mkoani humo,[Picha na Ikulu]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitia saini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe,Said Thabit Mwambungu (kushoto) alipowasili Mkoani humo leo kuzindua mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa uliofanyika katika uwanja wa Majimaji Songea Mkoa wa Ruvuma (kulia)Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mh. Dk. Fenella Mukangara ,{Picha na IKulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisimama katika jukwaa maalum kupokea salamu ya vijana wa halaiki mara alipowasili katika Uwanja wa wa Majimaji Songea Mkoa wa Ruvuma leo kuzindua mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa katika (kushoto) Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mh. Dk. Fenella Mukangara ,{Picha na IKulu.]
Maafisa mbali mbali wakiwa katika uzinduzi wa Mbio za mwenge kitaifa uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Majimaji Songea Mkoa wa Ruvuma,{Picha na IKulu.]
Wananchi wa Mji wa Songea na Vijiji jirani na Mjihuo wakiwa katika uwanja wa Majimaji Mkoa wa Ruvuma kushuhudia uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa uliowashwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein ,{Picha na IKulu.]
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni