Mwajumuiya wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, Stephen Mija, akionyesha Kadi Maalumu ya harambee ya kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuchingia shilingi milioni 2 jijini Dar es Salaam juzi
Wanakwaya wa Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, wakiimba wakati wa uzinduzi uuzaji wa tiketi na kadi Maalumu ya harambee ya kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo juzi



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni