.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Aprili 2015

LA LIGA, REAL MADRID YAIFUNGA ALMERIA 3-1

Real Madrid imeendelea kuwafukuza kwa kasi vinara wa ligi kuu nchini Hispania maarufu La Liga wapinzani wao wakuu FC Barcelona, baada ya usiku wa kuamkia leo kuwatandika Almeria mabao 3-1 katika mchezo uliochezwa uwanja wa Santiago Bernabeu. 

Mabao ya Madrid yaliwekwa kimiani na James Rodríguez, Mauro Dos Santos ambaye alijifunga na bao la tatu likafungwa Alvaro Arbelo.




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni