Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani hapo jana timu ya soka ya Everton wametoa kichapo cha aina yake kwa Manchester United baada ya kuitandika mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu nchini humo.
Kwa matokeo hayo Manchester wapo nafasi ya nne wakiwa na pointi 65 huku Everton wakiwa na pointi 44 wakiwa katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi hiyo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni