.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 11 Aprili 2015

LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA LEO, ARSENAL WAGENI WA BURNLEY

Washika bunduki wa jiji la London, Arsenal ambao hivi sasa wapo katika kiwango cha hali ya juu cha kusakata kandanda leo tena wanateremka uwanjani kucheza na Burnley. 

Arsenal ambao katika msimamo wa ligi kuu Uingereza wapo nafasi ya pili wakiwa na pointi 63
, watakuwa wakicheza ugenini.
Arsenal watataremka uwanjani wakiwa na kumbukumbu nzuri ya kuwatandika Liverpool mabao 4-1 wiki iliyopita. 

Wao Burnely wiki iliyopita walipokutana na Tottenham hawakufungana.

Michezo mingine itakayochezwa leo ya ligi kuu Uingereza ni kama ifuatavyo:-

Swansea vs Everton

Southampton vs Hull

Sunderland vs Crystal Palace

Tottenham vs Aston Villa

West Brom vs Leicester

West Ham vs Stoke

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni