Mkuu
wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile akizungumza na maofisa wake
(kushoto) kabla ya kuanza kugawa vyeti vya uraia kwa raia wapya wa
Tanzania kijijini Ilangu katika Makazi ya Mishamo, yaliyopo wilayani ya
Mpanda Vijijini, Mkoa wa Katavi. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya
Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka
1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa Tanzania.
Hata hivyo, Makazi ya Katumba na Ulyakulu tayari wamekamilisha zoezi la
ugawaji wa vyeti hivyo, na sasa ni zamu ya raia wapya wa Makazi ya
Mishamo kuwawiwa ambapo Serikali ya Tanzania inashirikiana na Shirika la
Kimataifa la Kuwahudumia Wakimbizi (UNHCR) katika ugawaji wa vyeti
hiyo. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Afisa Operesheni wa Idara ya Wakimbizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Stephen Daniel (kushoto) akiwaelekeza raia wapya wa Tanzania katika Kijiji cha Ilangu, Makazi ya Mishamo, kuwasilisha vyeti vya kliniki vya watoto wao ili waweze watoto wao kuwekwa kwenye kumbukumbu ya Serikali. Watoto wote waliozaliwa baada ya mwaka 2010 ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa, hivyo hawatapewa vyeti vya uraia kama wanavyopewa wazazi wao. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa Tanzania. Hata hivyo, Makazi ya Katumba na Ulyakulu tayari wamekamilisha zoezi la ugawaji wa vyeti hivyo, na sasa ni zamu ya raia wapya wa Makazi ya Mishamo kuwawiwa ambapo Serikali ya Tanzania inashirikiana na Shirika la Kimataifa la Kuwahudumia Wakimbizi (UNHCR) katika ugawaji wa vyeti hiyo. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile (kulia) akiwapanga watoto wa Kijiji cha Ilangu katika makazi hayo yaliyopo wilayani Mpanda Vijijini, ili watoto hao pamoja na wazazi wao waweze kupewa vyeti vya uraia. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa Tanzania. Hata hivyo, Makazi ya Katumba na Ulyakulu tayari wamekamilisha zoezi la ugawaji wa vyeti hivyo, na sasa ni zamu ya raia wapya wa Makazi ya Mishamo kuwawiwa ambapo Serikali ya Tanzania inashirikiana na Shirika la Kimataifa la Kuwahudumia Wakimbizi (UNHCR) katika ugawaji wa vyeti hiyo. Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni