Nahodha ya mashua iliyozama ikiwa na mamia ya wahamiaji haramu waliokuwa wakisafiri kupitia bahari ya Mediterranean kuelekea Ulaya kutafuta maisha bora amefikishwa mahakamani nchini Italia kujibu mashitaka yanayomkabili.
Nahodha huyo raia wa Tunisia ameshitakiwa kwa makosa ya kusababisha vifo vya mamia ya wahamiajia hao na pia ameshitakiwa kwa kusafirisha isivyo halali wahamiaji hao.
Nahodha huyo ni kati ya watu 27 waliosalimika katika ajali ya mashua aliyokuwa akiiendesha iliyozama wiki iliyopita na kuua mamia ya wahamiaji haramu katika pwani ya Libya.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni