.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Aprili 2015

MAFUNDI WANUSURIKA KIFO BAADA YA JENGO LA GHOROFA TATU KUANGUKA KENYA



Jengo la ghorofa tatu limeanguka hii leo katika mji wa Kikuyu, katika kaunti ya Kiambu nchini Kenya.
Taarifa zinaeleza kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa wakati jengo hilo lililokuwa bado lipo katika ujenzi likianguka leo asubuhi.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni wiki moja tu kupita tangu jengo jingine la ghorofa tano lililokuwa katika ujenzi kuanguka katika kijiji cha Gacharage katika kaunti hiyo hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni