.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 8 Aprili 2015

MAMIA YA NDEGE YAHAIRISHA SAFARI ZAKE UFARANSA KUFUATIA MGOMO

Mamia ya ndege zimehairisha safari zake kufuatia mpango wa kuanza mgomo wa waongoza ndege nchini Ufaransa.

Chama Kikuu cha waongoza ndege Ufaransa (SNCTA), kimeitisha mgomo hii leo na kesho kufuatia mgogoro kuhusu mazingira duni ya kazi.

Mamlaka ya Anga ya DGAC, imeyataka mashirika ya ndege kupunguza safari za ndege kwende na kutoka Ufaransa kwa asilimia 40.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni