.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 8 Aprili 2015

POLISI MZUNGU ASHIKILIWA KWA KUMUUA MMAREKANI MWEUSI

Afisa polisi mzungu wa South Caroline nchini Marekani amefunguliwa mashtaka ya mauaji baada ya video kumuonyesha akimpiga risasi mgongoni na kumuua mtu mweusi aliyekuwa akikimbia.

Afisa upelelezi wa jimbo hilo jana amemkamata polisi huyo wa kituo cha North Charleston, aitwae Michael Slager, baada ya kuangalia video iliyorekodiwa kwa simu ya mkononi.

Mamlaka zimesema Walter Lamer Scott alipigwa risasi baada ya afisa polisi kumlenga na silaha ya kusababisha shoti. Idara ya Sheria ya Marekani inatarajia kuanza uchunguzi wa tukio hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni