.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 8 Aprili 2015

UKAME WASABABISHA TAIWAN KUANZA MGAO WA MAJI KWA KAYA MILIONI 1

Nchi ya Taiwan imeanza mgao wa maji kwa zaidi ya kaya milioni moja katika kukabiliana na ukame mkubwa kuwahi kutokea katika kisiwa hicho.

Mgao huo wa maji utahusisha kukatwa maji kwa muda wa siku mbili katika kila wiki kwa zamu katika miji ya Kaskazini mwa nchi hiyo.

Uhaba huo wa maji nchini Taiwan unatokana na kupungua kwa mvua na kusababisha matanki ya hazina ya maji kutojaa kama inavyostahiki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni