.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 8 Aprili 2015

MIILI YA WANAFUNZI 112 YATAMBULIWA NA NDUGU ZAO JIJINI NAIROBI

Miili ya wanafunzi 112 waliouwawa katika tukio la ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa imetambuliwa na ndugu katika chumba cha maiti cha Chiromo Jijini Nairobi.

Waziri wa Afya Kenya, James Macharia amesema miili mingine 30 bado haijatambuliwa jambo ambalo limechelewesha utolewaji wa orodha ya majina ya wanafunzi waliokufa katika tukio hilo la wiki iliyopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni