.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Aprili 2015

MFALME SALMAN BIN ABDULAZIZI AL SAUD WA SAUDI ARABIA AFANYA MABADILIKO

Mfalme Salman bin Abdulaziz al-Saud ( kushoto ) amemteua Mohammed bin Salman ( kulia ) kuwa waziri wa Ulinzi. 

Mfame wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz al-Saud amemteua mpwa wake, Mohammed Bin Nayef kuwa mrithi wa kiti hicho cha kifalme. 

Mfame Salman amefikia uamuzi huo baada ya kumuondoa kaka yake wa kambo Prince Muqrin ambaye ndiye aliyekuwa mrithi wa kiti hicho.




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni