.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Aprili 2015

MAYWEATHER AMBEZA PACQUIAO KWA KUINGIZA MKWANJA MDOGO


 
Bondia Floyd Mayweather amembeza Manny Pacquiao wakati wa kuelekea kwa pambano lao linalongojewa kwa hamu siku ya jumamosi, kwa kumuambia anapaswa kuingiza fedha nyingi zaidi kama ilivyo yeye.

Pambano hilo ni miongoni mwa mapambano ghali mno katika historia ya masumbwi, ambapo mabondia hao watagawana kiasi cha dola milioni 150, ingawa kiasi halisi cha fedha hiyo hakikuwekwa wazi.

Hata hivyo mgao wa fedha hizo unaonyesha Mayweather atachukua asilimia 60, huku Pacquiao akiambulia asilimia 40 za fedha iliyotengwa kwa ajili ya malipo ya mabondia hao kudundana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni