.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Aprili 2015

UJIO WA RAIS OBAMA KENYA MAAFISA USALAMA WA MAREKANI WAANZA KUWASILI


Maafisa usalama wa Marekani wapatao 200 wamewasili nchini Kenya pamoja na magari mawili ya silaha kwa ajili ya maandalizi ya ulinzi wa Rais Barack Obama atakayoifanya mwezi Julai. 

Timu hiyo ya maafisa usalama pia itahusika kusimamia ulinzi wa maafisa wawili waandamizi wa serikali ya Marekani wanaotarajiwa kuwasili Kenya katika wiki ijayo.

Magari hayo yamewekwa katika Ubalozi wa Marekani nchini Kenya uliopo Gigiri, huku idadi kubwa ya maafisa usalama wakiwa Jijini Nairobi na wengine wamepelekwa Kisumu, alikozaliwa baba wa rais Obama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni