Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex
Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano
la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es
Salaam, Jumapili 5, 2015. (Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason
blog).
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akishirikiana na
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella
Mukangara (kulia) na Mchungaji Mwasota kukata keki. Aanayeshudia ni
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella
Kairuki.
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akimlisha keki Naibu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella Kairuki.
Pembeni anayeshuhudia ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo, Mhe. Fenella Mukangara.
Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka
nchini Afrika Kusini anayefahamika kwa jina la Rebbeca Malope akitoa
burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika
katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
Mwimbaji Rose Mhando akiwasha moto
wa kamata pindo la Yesu katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka,
lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili
5, 2015.
Mwimbaji John Lissu akitumbuiza jukwaani

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni