.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 6 Aprili 2015

WAHAMIAJI HARAMU 1,500 WAOKOLEWA KUTOKA KWENYE BOTI MEDITERRANEAN

Wahamiaji haramu 1,500 wameokolewa kutoka kwenye boti wakati wakijaribu kuvuka kuingia nchini Italia katika muda wa saa 24, kwa mujibu wa kikosi cha ulinzi cha pwani ya Italia.

Kikosi cha Jeshi la Majini pamoja na kikosi cha ulinzi wa pwani vimewaokoa wahamiaji hao katika maeneo matano tofauti.

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema karibu watu 3,500 wamekufa maji na wengine zaidi ya 200,000 wameokolewa wakijaribu kukatiza bahari ya Mediterranean kwenda Ulaya katika mwaka jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni