.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 12 Aprili 2015

RAIS OBAMA ASEMA MKUTANO WAKE NA CASTRO UTAONDOA TOFAUTI

Rais Barack Obama amesema mkutano wake na rais wa Cuba, Raul Castro utasaidia nchi zao mbili kubadili mitazamo yao baada ya kupita miongo kadhaa ya hali ya uhasama.

Obama ameelezea mkutano huo baina ya mataifa hayo ya Amerika ni wa kuaminiana na wenye mafanikio.

Amesema kuwa mataifa hasimu ya Marekani yanaweza kuendelea na tofauti zao, lakini kutokuwa na maendeleo katika makubaliano ya masuala yenye maslahi yanayofanana.

Mkutano huo ni wakwanza rasmi kwa viongozi wa mataifa hayo kufanyika baada ya kupita karibu zaidi ya nusu karne.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni