.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 15 Aprili 2015

RAIS OBAMA AVUTIWA NA STAILI UPIGAJI PICHA YA USAIN BOLT

Rais wa Marekani, Barack Obama akiwa katika picha ya pamoja na mwanariadha mwenye kasi zaidi duniani, Usain Bolt raia wa Jamaica. 

Rais Obama alikutana na mwanariadha huyo mshindi wa mara sita mfululizo wa mashindano ya Olimpic alipofanya ziara ya kikazi nchini Jamaica mwishoni mwa wiki iliyopita. 

Rais Obama amekuwa kiongozi wa juu wa Marekani kuzuru Jamaica toka mwaka 1982.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni