MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha akifungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi na viongozi wa vyama vya siasa Kisiwani Pemba,pembeni yake ni baadhi ya makamishna wa Tume hiyo.
MKUU wa Wilaya ya Mkoani katikati Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akiwa na makatibu tawala wa Mkoa na Wilaya za Pemba, wakifuatia hutuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim ambaye hayupo pichani, wakati akifungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi.
Picha zote na Bakari Mussa.PEMBA.



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni